The United Church of Canada/L'Église Unie du CanadaTrouble reading this page? See our help page!
Tunashukuru ya kwamba uko hapa na twatarajia utapata habari ambayo itakuwa ya muhimu, nay a kukuleta karibu na Mungu.
Kanisa ya Mungano ya Kanada ni kati ya dini za kiKristo. Ukristo ulianza miaka 2000 liopita na wafuasi wa Yesu. Imeendelea kuwa na kuongezeka kwa karne mingi baada ya kifo kufa na kufufuka kwa Yesu.
Kutoelewana juu ya dini na vitendo kili sababisha kutengana kwa kanisa na kuwa na kanisa tatu ambazo zinapatikana leo. Zote tatu zina pata uamini wawo kutoka na maisha, kifo na wufufuko wa Yesu na wafuasi waake wa zamani. Kanisa katholiki linajitambulisha kuwa wafuasi kupitia kwa Peter, mufuasi wa Yesu na Baba Mtakatifu. Kanisa Katholiki na kanisa la Orthodox waliungana mwanzo wa karne elfu mbili. Katika miaka ya 16th century Pastor Martin Luther nawengineo wenye mafikiro sawa walijitenga kutoka kanisa katholiki na kuwanzisha kanisa la Proestanti ambayo ilisababisha kuwa na makanisa mingi kwa nchi nyingi.
Katika mwaka 1925 makanisa ya vitengo tatu, Methodist, Congregationalist na Presbyterian ya Kanada yaliongana kufanya kanisa la Muungano la Kanada, kupitia kitengo kya Bunge. Maelowano kati ya mula tofauti yanapatikana kwa mula ya historia na motto “wacha wote tuwe pamoja” Ndio sahihi ya Kanisa.
Kutoka mwaka 1925 makanisa mengine madoga ya meungana na kanisa la Muungano la Kanada kwa sasa kuna karibu kanisa 3200 la kanisa la Muungano la Kanada. Hii inaelezea mila na desturi ya kania letu kutoka miaka iliyapita.
Kama makanisa mengine ya kikristo kanisa la Muungano la Kanada linafuata. Mafundisho ya Mungu, Yesu na Bibilia. Lakeni namna ambayo tunaelewa Mungu na mafundisho yetu na kusoma Bibilia ni tofauti kama vile ni tofauti kati dini zingine za kikristo. Hapa ni mafundisho na desturi muhimu ya kikristo tunayofuati katika kanisa la Muungano la Kanada.
Tuna sacramenti mbili: ubatizo na communio zote ambazo ni wezo kwa mtu wa umri ye yote. Tunatambua ubatizo kutoka kanisa zingine za kikristo. Kanisa la Muungano la Kanada inafanya kazi pamoja na makanisa mengine ya kikristo wakati iwezekanavyo na kati ya watu wa madini mengine ya dunia kusaida kwa Amani, heshima ya Binadamu.
Wafuasi wakiungana Kanisani ni misa.
Inaendeshwa na mufuasi ambaye analipwa na wafuasi wa kanisa. Anapeana uongozi, elimu na maombi. Wafanyika wengine kama mwalimu wa muziki, wafanyikazi wa offisi, na walimu wanajitolea ama kulipwa. Wafanyikazi wanaweza kuwa wanaume ama wanawake, hawajaolewa ama wameolewa. Pesa inayotumika kulipa wafanyikazi natoka kwa sadaka. Sadaka pia inatumika kufanya kazi ya kanisa kote duniani. Ingawa pastor na wafanyakazi wanafukume ya kuongoza kanisa wafuasi na volunteer wanayuku ya kuondelesha kanisa.
Unaeza kupata waamini karibu naawe au kutumia website ya kanisa.
Kila kanisa na pastor wanaongoza misa ya Jumapili kutokana na community na mila na desturi zao. Kwa hivyo kunatofauti vile kila kanisa linaendesha misa yao ingawa kuna mambo ambayo ni sawa.
Jumuia na urafiki ni muhimu kwa kanisa. Ibada nyingi na vitendo yetu vina kuezesha kuungana na kukutana na watu wengi. Inakusaidia kufanya urafiki na vitu via maana.
Kwa hivyo kuna njia nyingi za kuyiunga. Labela unamaarifa Fulani ambayo itasaidia kujenga kanisa la Muungano ka Kanada. Karibu. www.wondercafe.ca