The United Church of Canada crest /L'Église Unie du Canada
3250 Bloor St. West, Suite 300
Toronto, ON M8X 2Y4 Canada
Toll-Free: 1-800-268-3781
Fax: 416-231-3103
Website: www.united-church.ca
Loading
Quick Links

Overview

Tarehe kabla na baada ya muungano

Trouble reading this page? See our help page!

Kanisa la Muungano la Kanada lilizinduliwa kikamilifu Juni 10, mwaka 1925, katika muji wa Toronto, Ontario, wakati Kanisa la ki Methodisti, Umoja la Kimakanisa la Kanada na sabini kwa miya la wenyeki wa kanisa la ki presbyteri la Kanada walijiunga na kuunda umoja mahuluku.

1800s

1829

Kitabu cha kimetodisti na jengo la utoaji lime anzilishwa Toronto

1874

Jimbo la Quebec la kanisa la Uingereza la simika baraza kwa ajili ya kuongoza umajo wa kanisa.

1875

Unganisho la vitengo nne la ki metodisti katika Kanisa moja la Kimetodisti (Kanada).

1885

Pendekezo la majadiliyano ku husu umoja wa Kanisa katika nchi ya Kanada la tokezwa kutoka Kanisa la Uingereza ( Ki Anglikani), na mkutano kandaliwa mwaka 1886

1899

Kanisa la ki metodisti (Kanada) la anzilisha jumba la Nyaraka pa Victoria Universty, Toronto.

1900-14

1902

Majadiliyano rasmi kaanzishwa katita Umoja wa makanisa, wa metodisti na makanisa za ki presbitari.

1904-08

Wajumbe wa uunganishaji wa makanisa wa jitahidi kuweka msingi wa umoja.

1906

Miungano kadha za kimakanisa wa unda Umoja wa makanisa ya Kanada.

1912

Muungano la elimu la makanisa la anzishwa mjini Montreal miongoni wa anglikani, wa presbiteri, wa metodisti, na makanisa zaushirika.

1914

Vita la kwanza la dunia kuanza na harakati za muungano ku pungua.

1921-29

1921

Chuo cha misioni cha Kanada kuanza ( iliyo itwa baadae Ecumenical Forum) likiwa na maazimiyo ya ku wa elimisha watu kwa misioni ya ng’ambo ( Wa anglicani,methodisti, presbyteri, na baadae wa Baptisti).

1925

Juni 25, mjini Toronto ,katika jumba la Mutual St Arena , kanisa la Muungano la Canada lika undwa kutokana na umoja la wa presbiteri,wa methodisti, ma conger…,na baraza kuu la muungamano wa kienyeji.

1925-26

Baraza kuu la kwanza, katika mji wa Toronto, Ontario,Moderator: Adilifu Rev. James Endicott.

1926-1928

Baraza kuu la pili ,katika mji wa Winnipeg, Manitoba, moderator: Adilifu Rev. William T. Gunn.

1925-29

Jumuia, chuo, na ofisi za kanisa la mwunganisho kojitokeza

1928-30

Baraza kuu la tatu, mji Winnipeg, Manitoba, Moderator: Adilifu Rev. William T.Gunn.

1929

Kuzofika kwa uchumi kuanza

1930s

Kazi ya vijana kuendelea katika idhaa mbalimbali: mazowezi ya wasichana wa Kanada, ambao kuanza katika mwaka wa 1915, “Trail Rangers” kwa wavulana, “Tuxis Boys” kwa wavulana kutoka miaka 15 hadi juu; na Old Boys Parliament.

1930-32

Baraza kuu la nne, katika mji wa London, Ontario, Moderator: Adilifu Rev.Edmund H.Oliver.

1930

Mwunganisho na synodi ya Wesleyan Methodist Church of Bermuda kuunda “Presbitary of Maritime Conference”.

1932-1934

Baraza kuu la tano katika mji wa Hamilton, Ontario, Moderator: Adilifu Rev. T Albert Moore.

1934

“ Feellowship for a Christian Social Order” (FCSO) kuanzishwa katika mji wa Kingston, Ontario, julikanalo kama “ changamano ya wa kisto ambao  imani yao ya kidini huwa vuta ku amini kwamba taratibu ya uchumi ya wa kapitalisti hu epukana ki msingi na kanuni za ki kristo; na ambao uamini kwamba maumbile ya maingiano mpya ni ya lazima kwa ku tekeleza ufalme wa Mungu.”

1935

“ Katika hii, ni adhimisho ya kumi. Kanisa la Muungano la Kanada uhakikisha kwa ulimwengu wote imani na asili yake kwa mawazo ambao ime wa vuta kuundwa. Kwa mwangaza ya ujuzi ya miaka kumi kanisa la Muungano la Kanada limegundua kwamba izi vipeo nivya maana sana kwa kazi yao , na katika kutafuta hizo vipeo wenyeketi wao wame gundua makuu na undani wa ki kristo, kibinadamu na ibada. Katika ku thibitisha imani ya karama ya chanagamano yao yaki kristo, Kanisa la Muungano la Kanada limeingia katika mlongo wake wa pili, ikiwa tayari, kulingana na jinsi uwezo ime jitokeza kwao na jinsi Mungu huweza kuwa elekeza ,kutafuta na wakristo wengini maendeleo zaidi ya kipeo yake; ikiwa kwakuongeza uhusiano, mwuungano mahuluku , na kwa ivyo kutekeleza azimiyo lake yakusitokuwa mwuungano tu, lakini kanisa la uunganishaji.”

1936

Baraza kuu la sita, katika mji wa Kingston, Ontario, Moderator Adilifu Rev Richard Roberts.

1936-1938

Baraza kuu la saba, katika mji wa Ottawa, Ontario, Moderator, Adilifu Rev. Peter Bryce.

1936

  • Uchapishaji wa R.B.Y Scott and Gregory Vlastos, eds., “Towards the Christian Revolution
  • Kuzunduliwa kwa mwanamke wa kwanza kama mhudumu wa kwanza katika Kanisa la Muungano la Canada, bii Rev. Lydia Gruchy
  • Kanisa la ki Baptisti ku ime chukuwa wimbo la kanisa la Muungano kabla ya msahihisho
  • Maongezi kufaki kati ya Kanisa la Muungano, wa Anglikani na wa presbiteri kuhusu “buheri ya ujamaa”

1937

Ma baptisti wa silika mjumbe wao kwa nyuma la Utowaji la Kanisa la Muungano la Canada kama shauri kuhusu habari za elimu za kikristo.

1938-40

  • Baraza kuu la nane, katika mji wa Toronto, Ontarion, Moderator: Adilifu Rev. John W. Woodside.
  • Baraza kuu la hakikisha haki ya imani katika wakati wa vita.

1939

  • Vita ya pili ya Dunia kuanza
  • Kanisa la Muungano lajishugulisha katika bidii za enjili
  • Makasisi sitini wa Kanaisa la Muungano wa andika barua ijulikanalo kama “ Witness Against War” kueleza maoni yao ya amani.

1940s

1940-42

  • Baraza kuu la tisa, mji wa Winnipeg, Manitoba, Moderator: Adilifu Rev. Aubrey S. Tuttle.

1940

  • Tamko la Imani limetolewa. Kwa mwaka 1950, manukuu 75,000 zime uzwa
  • Kanisa ku staafisha deni ya kuzofika kwa uchumi kwa kikopo la vita. “kikopo kwa nchi yako na thawabu ka kanisa lako”

1942-44

Baraza kuu la kumi, Belleville, Ontario, Moderator: Adilifu Rev. John R.P Sclater.

1942

Kanisa la Muungano husimama wima kwakuisaidiya shokao.

1943

Wa anglikani wa Canada husherekea karamu yao waki alika madhehebu wengine katika maongezi ya changamano. Kanisa la muungano kajibu na utayari.

1944-1946

Baraza kuu la kumi na moja , mji London, Ontario, Moderator: Adilifu Rev. Jesse H. Arnup.
Tume kateuliwa kuhusu ndao ya kikristo na nyumba ya kikristo.

1944

  • Katekismu kahadhiriwa.
  • Nymba la utowaji la kanisa la muungano ikathabitisha mapatano yake na “Toronto Allied Printing Trade Council ”yenyi kuwaruhusu mkongojo yeyote kuwa mwenyekiti wa shirikisho.
  • Baraza la makanisa za Kanada ikaundwa, na Kanisa la Muungano la Kanada kawa moja ya wenyekiti.

1946-48

Baraza kuu la kumi na mbili, mji Montreal, Quebec, Moderator: Adilifu Rev. Thomas W. Jones. Tume ka undwa kuhusu utamaduni wa Kanada.

1946

Azimio la pamoja kutoka Kanisa la Muungano na kanisa la kianglikani kuhusu idara moja ikatolewa.

1948-50

Baraza kuu la kumi na tatu, mji Vancouver, British Columbia, Moderator: Adilifu Rev. Willard E. Brewing.

1948

  • Baraza la makanisa duniani ka undwa na Kanisa la Muungano kuwa mwenyekiti moja wao
  • Shule za makanisa za nyumbani kaanza funga.

1950s

1950-52

Baraza kuu la kumi na nne, Toronto, Ontario, Moderator : Adilifu Rev. Clarence M. Nicholson.

1950

Kuhahakisha azimio ya sherehe ya kumi kuhusu sherehe ya 25 na umoja wa kanisa.

1952-54

  • Baraza kuu la kumi na tano, mji Hamilton, Ontario, Moderator: Adilifu Rev. Alexander A. Scott.
  • Baraza kuu uunga mkono utabibu an kukibali de facto Taifa ya wanainchi wa chaina.
  • Pendekezo ka tolewa la kuanza mtaala mpya
  • Vyumba kuu za Nyaraka la Kanisa la Muungano zimegunduliwa kikamilifu, kawekwa katika mji wa Toronto, pa Victoria University.

1954-56

Baraza kuu la kumi na sita, mji Sackville, New Brunswick, Moderator: Adilifu Rev. George Dorey.

1955-56

Maendeleo ya mtaala mpya na bodi ya elimu ya kikristo (David Forsyth, Alvin Cooper, Frank Fildler) na pia bodi la utoaji (Peter Gordon White, Wilbur K. Howard).

1956-58

Baraza kuu la kumi na saba, mji Windsor, Ontario, Moderator : Adilifu Rev. James S. Thomson.

1958-60

  • Baraza kuu la kumi na nane, Ottawa, Ontario, Moderator: Adilifu Rev. Angus J. Macqueen.
  • Kanisa la Muungano kuuliza swali laku endelea ama ku ondoka kwa kanisa la kianglikani kwa aliko yake ya mwaka 1943; kuamua kuendelea.

1959

Baraza kuu mtendaji la idhinisha mtaala mpya la kiteolojia na la elimu katika mwezi wa novemba.

1960s

1960-62

  • Baraza kuu la kumi na tisa, mji Edmonton, Alberta, Moderator : Adilifu Rev. Hugh A. McLeod.
  • Baraza kuu laadhimisha sera kwamba kujihinisha na pombe ni “tabia busara na salama”, lakini kutumia kikadiri ime kubaliwa. Kujihinisha kabisa siyo lazima kabisa.
  • Rev. Arthur Packman hufanya kazi kama padre wa baamjini Toronto. Rev. Gordon Winch akafuata.
  • Maendeleo ya ufahamivu ”, andiko la pamoja  kati ya kanisa la ki anglikan na kanisa la Muungano ika tolewa.

1962-64

  • Baraza kuu la ishirini, London Ontario, Moderator: Adilifu Rev. James R. Mutchmor.
  • Uchapishaji wa azimio ya mtaala mpya ika anza na kitabu cha Donald Maher kwa watu wazima, ambalo lilikuwa kitabu bora.

1962

  • Umoja wa wamama na Umoja la jamii wa mama mmisionari wakajiunga ku umba Kanisa la Muungano la Wamama.

1964

Azimio la muungano kujitokeza kati ya mkutano wa London na jimbo la kikanisa la Huron.

1964-66

  • Baraza kuu la ishirini na tano, mji St John’s, Newfoudland, Moderator: Adilifu Rev. Ernest M. Howse.
  • Kamisheni kuhusu uwaziri kwa kame ya ishirini kutetuliwa kwa kujibu kwa wasiwasi kati ya ma jumuhia, mapresbiteri na wahuduma kuhusu kazi ya huduma.

1965

  • “Madhehebu ya umoja” kati ya kanisa la Muungano na kanisa la Kianglikani ikatolewa.
  • Kitabu cha Pierre Berton, “ The comfortable pew” ika tolewa kwa maombi ya  Kanisa la ki Anglikani la Canada.
  • Why The Sea is Boiling Hot”, semina kuhusu kitabu ya Berton ika tolewa.

1966-68

Baraza kuu la ishirini na mbili, mji Waterloo, Ontario, Moderator: Adilifu Rev. Wilfred C. Lockhart.

  • Baraza kuu kukubali azimio la umoja na Mkutano la Canada la “ Conference of The Evangelical United Brethren Church “ kuanza kwa mwaka 1968
  • KAnisa la Muungano la “ Renewal Fellowship” kaanzishwa.
  • Kwa mara yakwanza tangu umoja, wanachama wa kanisa la Muungano wakashuka.

1968

Rev. Ray Hord, katibu wa Injili na kazi ya kikao, akatoa msaada wa haraka kwa waamerika wa Vietnam, Barza kuu mtendaji ikajitenga na hatuwa iyo lakina baada ikawa sera ya kanisa.

1968-71

Baraza kuu la ishirini na tatu, mji Kingston, Ontario, Moderator: Dr. Robert B. McClure.

1968

January 1: Umoja ukatendeka na kanisa la “Evangelical United Brethren” (Kanisa la Huduma la Muungano la Brethren).

1969

Kitabu la maabudu ika tolewa.

1970s

1971-72

Baraza kuu la ishirine na nne, Niagara Falls, Ontario, Moderator: Adilifu Rev. Arthur B.B Moore.

1971

  • Azimio la umoja ikakubaliwa na komisioni la kanisa la ki anglikani, la Muungano na wafwasi wa Kristo.
  • Kitabu cha wimbo ikatolewa na kanisa la Muungano na lile la ki anglikani.

1972-74

Baraza kuu la ishirini na tano, Saskatoon, Saskatchewan, Moderator: Adilifu Rev. Bruce McLeod.

1974-77

  • Baraza kuu, Guelph, Ontario, Moderator: Adilifu Rev. Wilbur K. Howard.
  • Ujumbe kuhusu huduma ika sisitiza kwamba kuna huduma moja tuu, “huduma ya Mungu pekee, na kati ya huduma hiyo Mungu huwaita kanisa lake lote.

1975

  • Jukumu la nguvu kuhusu makanisa na kushirikiyana kwa pamoja ika undwa, halafu baadae uundaji wa mkutano wa kanisa na watu wa ubiashara.
  • Jumba la ki anglikani la maaskofu na baraza tendaji la taifa ikakataa kabisa la muungano.
  • Waanglikani, waluterean, wapresbyteri, kanisa katoliki na kanisa la muungano wakakubali uhakika wa ubatizoya kikristo katika halizake zote.

1977-80

  • Baraza kuu la ishirini na saba, mji Calgary, Alberta, Moderator: Adilifu George M. Tuttle.
  • Ripoti zaidi kuhusu ikaonyesha kuongezaka kwa watu wanajisi katika huduma.

1980s

1980-82

  • Baraza kuu la ishirini na nane, mji Halifax, Novo Scotia, Moderator: Adilifu Lois M. Wilson.
  • Baada ya kutazama somo la mwisho kuhusu huduma, Azimio: Huduma, kamiti la kikao la baraza kuu ikatoa azimio lifuatalo: “Kama kinisa, sisi bado tuendelea mbele kufikkia mmarifa kamili ya huduma”.

1982-84

Baraza kuu la ishirini na tisa, mji Montreal, Quebec, Moderator: Adilifu Rev. W. Clarke Mac Donald.

1982

Katika mji wa Lima, Peru, wanateolojia wenye kujiunga na Baraza la makanisa ya Dunia wakatoa andiko lapamoja kuhusu upatano wa imani. Ubatizo, Ukaristiya na Huduma; na wakafikiya ku sherekeya karamu ya Bwana pamoja (the Lima Litergy).

1984-86

Baraza kuu la thelathini, Modern, Manitoba, Moderator: The Rev. Robert F. Smith.

1985

Maongezi kuhusu umoja kati ya Kanisa la Muungano la Wafwasi wa Kristo ikaisha.

1986-88

  • Baraza kuu la thalathini na moja, mji Sudbury, Ontario, Moderator: Daktari Anne. M. Squire.
  • Baraza kuu kamaliza uwekezaji Afrika ya Kusini.
  • Baraza kuu ikaomba msamaha kwa makanisa ya wazaliwa wa Kanada kwakukataa nyakati zakale imani yao.

1988-90

  • Baraza kuu la thalathini na mbili, mji Victoria, British Columbia, Moderator: Adilifu Rev. Sang Chul Lee.
  • Mkusanyiko wa mkutano wa wazaliwa wote ikafunguliwa rasmi.
  • Baraza kuu ikatowa tamko kwamba” watu wote, pasipo kuangaliya aina ya mwelekeo ya ngono zao, ambao wakubali imani kwa Yesu Kristo wakaribishwa katika kuwa memba ama kugeuka memba wa Kanisa la Muungano la Kanada na kwamba huweza kukubaliwa kuwa kasisi wa huduma”

1990s

1990-92

Baraza kuu la thalathini na tatu mji London, Ontario, ikasherekeya myaka 65 ya Kanisa la Muunguno. Moderator: Adilifu Rev. Walter H. Farquharson.

1992-94

Baraza kuu la thalathini na nne, Fredericton, New Brunswick, ikamchaguwa hadilifu Rev. Stan Mckay, mzaliwa wa Kanada kama moderator.

1994-97

  • Baraza kuu la thalathini na tano, mji Fergus, Ontarion, ikasherkea “ Church Fair Day”; moderator: Dr. Marion Best.
  • Mwaka wa 1994, Agosti, Kanisa la Muungano ikaimarisha “The Healing Fund” kwaajili ya kusaidiya jamii ya wakaaji wa kwanza wa Kanada kwakujibu kwa uchungu wa urithi wa shule za mtaani.
  • Mwaka 1995, Machi, Ofisi ya baraza kuu la taifa ikahama kutoka 85 St. Claire Ave. East, Toronto, kwakukodisha nyumba pa 3250 Bloor St. West.
  • “The Ethnic Ministries Council” ikazinduliwa kikamilifu katika mwezi wa Juni, 1996. 
  • Katika mwezi wa Juni 1996, kitabu mpyaya wimbo, Voices United, ika zinduliwa kikamilifu.

1997-2000

  • Baraza kuu la thalthini na sita, mji Camrose, Alberta, ikachagua Adilifu Rev. Bill Phipps kama moderator.
  • Katika mwezi Octoba 1997, tafsiri ambazo zilitolewa na Bill Philips katika maongezi yake na gazeti moja, ikaleta cheche kuhusu umungu wa Yes.
  • Katika mwezi wa Octoba 1998, Kanisa la Muungano la Kanada ikatoa msamaha kwa wanfunzi wa zamani wa Kanisa la Muungano la India

2000-

2000

Kanisa la Muungano la Kanada ikasherekeya myaka 75.

2000-03

  • Baraza kuu la thalthini na saba, mji Toronto, Ontario, ikachaguwa adilifu Rev. Daktari Marion Pardy kama moderator.
  • Baraza kuu ika siliki sera ya kupinga ubaguzi wa rangi (anti-racism policy)“ kwamba wote wawe moja”, yenye kutambua ulazima wa kanisa la Muungano kuhutubia kuhusu ubaguzi wa rangi ndani na inje ya kanisa.

2001

Baraza kuu mtendaji ikaruhusu ubadilishaji wa ofisi la baraza kuu. Kazi ya vikao tano na baraza ya huduma ya ukabila (Ethnic Ministries Council)  ika badilishwa kuwa kumi na moja vya kazi (11 working unit).

2002

Cheo la “General Council Minister”, Racial Justice, ika umbuakwakusaidiya kanisa kuishi uazamaji wake wakugeuka kanisa lenye kukataa uabaguzi warangi na kutembeya katika njia mpya kufikiya upatanisho na wakaaji wa kwanza wa Kanada.

2003

  • Baraza kuu la thalathini na nane mji Wolfvile, Nova Scotia, ikachagua Adilifu Rev. Peter Short kama moderator.
  • “The United Church of Canada Foundation” ika anzilishwa.

2004

Miaka mbili ya elimu ya kanisa la muungano, uwakili, muradi wa mchango wa feza, “The Beads of Hope Campaign”, ikapata mafanikio. Hii kampeni yenyi fanaka kuu ili anzishwa mwezi desemba 2002 kama jibu la haraka kwa hali ya juu ya ugonjwa wa HIV-AIDS duniani.
Tena, zaidi ya dola milioni 2.3  ya mchango ili patikana kwaajili yakampeni yakugeuza sera ya umma, iyi ni kama zaidi ya mara mbili ya mchango iliota tarajiwa.

2005

  • Kanisa la Muungano la Kanada ika toa mwito kwa wa memba wake kwaajili ya kutoa mchango yakusaidia ujenzi wa Asia na Africa ya mashariki,zilizo teketea na Tsunami. Kufikia Desemba 26, 2004,zaidi ya dola milioni 1.5, ilichangwa.
  • Kanisa la Muungano la Kanada ikasukuma bunge la taifa la Kanada kupiga kura kwaajili ya ndao ya aina mijoa ( same sex).
  • Kanisa la Muungano ikakaribisha agano la msingi, iliyo patikana kati ya serekali ya Kanada na bunge ya wakaaji wa kwanza wa kanada, agano ambalo limesisitiza suluhiso   ya manafunzi wa shule za mkaa za wa India.
Last updated:
2007/05/29
Created:
2007/05/29