The United Church of Canada/L'Église Unie du CanadaTrouble reading this page? See our help page!
Shore ndiyo sahihi ya kanisa la Muungano la Kanada, ambayo huwekwa kwa barua rasmi, cheti za kusimika na za uwakilishaji, na leseni zakutoa sakramenta. Shore hii iliyochapishwa na Rev. Daktari Victor T.Mooney (mtunza hazina wa kanisa la Muungano ), ilichukuliwa rasmi katika baraza kuu la kumi na moja la mwaka 1944.

* See the Guidelines for Use if you are interested in using this image.
Kwa wa memba wa kanisa letu, hii alama ni kumbusho la alama na ki historia. Namna yake ya yai imetokana na alama ya mzunguko wa samaki, ambayo ni alama ya kitambulisho kwa wakristo wa kwanza. Herufi za neno “Yesu Kristu, mwana wa Mungu, Mwokozi”, ina tokana na neno yakigereki samaki.
Shore imefanywa katika alama ya Msalaba ya St. Andrew ikiwa na alama katika kila moja ya pembe nne. Alama “X” katikati, ambao ni herufi ya kwanza ya neno Kristu katika luga ya kigereki, ni alama ya asili ya neno Kristu.
Katika pembe nne ya shore kuna alama; tatu kati ya alama izo nne zina husiano na umoja tatu:
Makanisa, Wa metodisti, na ma presbyteri, ambao walijiunga ku jenga Muungano wa makanisa wa Kanada katika mwaka 1925.
Maneno lakilatini ut omnes unum sint ambazo zinazunguka alama kunako shore inamaanisha Na wote wawe moja na zilichukuliwa kutoka Yohana 17:21. Nimakumbusho kwamba sisi ni kanisa ambalo lina “ungana” na ambalo “linaunganisha”.
Katika mwaka 1980, tafsiri katika kifaransa ya The United Church of Canada- L’Eglise Unie du Canada-imekubaliwa na Baraza kuu ili liongezwe kunako shore.